Saturday, March 10, 2012
Uwezo wa kusukia
Wanasayansi wanasema uwezo wako wa kusikia unapungua unapokua kwenye joto kali sana, hata ulaji chakula uliopitiliza hupunguza uwezo wa kusikia pia. Kula kwa afya.
Usomaji na usikilizaji
Wanaume wanauwezo mkubwa kusoma maandishi madogo kuliko wanawake, wanawake wana uwezo mkubwa wa kusikia kuliko wanaume.
Saturday, February 4, 2012
Monday, January 9, 2012
Usafiri wa baiskeli
Mjini Tokyo usafiri wa baiskeli ndio wa haraka zaidi kuliko gari kwa safari isiyozidi dakika 50.
Sunday, January 8, 2012
Ukuaji wa kucha
Kucha ya kidole gumba hukua taratibu zaidi. Kidole cha kati ndio kucha hukua haraka.
Friday, January 6, 2012
Aleji
Tafiti zinasema watu wenye "aleji" wanaweza punguza mchakato/kasi/kuchanganya kwake kwa kucheka
Kope za macho
Kope za macho ya binadamu zinafumba na kufumbua kwa wastan wa mara 10,000,000 kwa mwaka. Tafiti zinasema hivyo.
Tuesday, January 3, 2012
Chafya na uwezo wa mwili
Tafiti zinasema kuwa unapopiga chafya mwili wote unasimama kufanya kazi mpaka moyo pia.
Subscribe to:
Posts (Atom)